Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Tanga Christopher Mariba ametoa taarifa ya utendaji wa Takukuru Mkoani Tanga kwa kipindi cha Julai hadi Disemba 2017 katika Taasisi hiyo ofisini kwake Bandari House jijini Tanga. Akizungumza na vyombo mbalimbali vya habari, ndugu Mariba alisema hatua za ufanisi zinatokana na ushirikiano uliopo kati ya taasisi hiyo na raia wema, hivyo basi Mkuu huyo ameendelea kuiomba jamii izidi kutoa ushirikiano na taasisi hiyo ili kuikomboa jamii ambayo imekuwa ikisumbuka kwa kutokutendewa haki na watendeji wasio waadilifu.
Jumapili, 18 Februari 2018
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Paroko wa pppp
-
GARI YA KURUSHIA MATANGAZO YA RADIO HURUMA FM JIMBO KATOLIKI LA TANGA. TIMU YA RADIO HURUMA MWISHONI MWA MWAKA 2017 ILIKUWA KWENYE SA...
-
Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Tanga Christopher Mariba ametoa taarifa ya utendaji wa Takukuru Mkoani Tanga kwa kipindi cha Julai hadi Disemba 201...
-
PICHA ZOTE HIZI NI WANAMAHAFALI HAO WAKIMSIKILIZA MKURUGENZI WA MIITO KANISA KATOLIKI JIMBO LA TANGA,PD.SIMONI CHAKUSAGA ALIPOKUA ANAZUNGU...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni